12.4.2  Ukojoaji wa mara kwa mara

Ukojoaji wa mara kwa mara ni lalamiko la kawaida katika ujauzito, hasa katika miezi ya kwanza na ya mwisho. Hii hutokea kwa sababu fetasi na uterasi inayoendelea kukua hufinya kibofu. Hukoma mtoto anapozaliwa. Ikiwa kukojoa kunasababisha uchungu, mwasho, au kuchomeka, huenda mwanamke huyo ana maambukizi kwenye kibofu. Utambuzi na udhibiti wa maambukizi ya mfumo wa viungo vya mkojo umejadiliwa katika Kipindi cha 18.

12.4 Matatizo madogo katika mifumo mingine ya mwili

12.4.3  Mchozo ukeni