12.4.4  Kuhisi joto au kutokwa na jasho jingi

Kuhisi joto ni jambo linalotokea sana katika ujauzito, na maadamu hakuna ishara zingine za hatari (kama vile ishara za maambukizi), mwanamke huyo asiwe na wasiwasi. Anaweza kuvaa nguo zinazoweza kupitisha baridi, kuoga mara kwa mara, kutumia pepeo la karatasi au jani kubwa, na kunywa maji mengi na viowevu vingine.

12.4.3  Mchozo ukeni

12.4.5  Disnia (upungufu wa pumzi)