Malengo ya Somo la Kipindi cha 17

Baada ya somo hili lazima uweze:

17.1 Kufafanua na kutumia kwa ufasaha maneno yote muhimu yaliyoandikwa kwa herufi nzito. (Swali la Kujitathmini17.1, 17.2 na 17.3)

17.2 Kueleza uainishaji wa KTW. (Swali la Kujitathmini 17.1 na 17.3)

17.3 Kueleza hatari tofauti zinazohusishwa na KTW. (Swali la Kujitathmini 17.2)

17.4 Kufafanua dalili za kutambua KTW. (Swali la Kujitathmini 17.2)

17.5 Kujadili matatizo ya KTW yanayoweza kutokea na kuathiri mwanamke na fetasi. (Swali la Kujitathmini 17.2 na 17.3)

17.6 Kuelezea hatua unazohitajika kutekeleza kwa mwanamke aliye na shida ya KTW. (Swali la Kujitathmini 17.2 na 17.3)

Kipindi cha 17 Kupasuka kwa Tando kabla ya Wakati (KTW)

17.1 Kupasuka kwa Tando kabla ya Wakati (KTW)