17.3.2 Mlalo mbaya wa fetasi

Kupasuka kwa tando za fetasi huhusisha sana mlalo mbaya wa fetasi katika awamu ya tatu. Hasa hatari ya KTW zinahusisha uzazi wa miguu kukaa vibaya (miguu kutangulia) na kulala vibaya (kutoka upande mmoja wa fumbatio hadi mwingine) huku mgongo wa mtoto ukijisimamisha juu na mikono na miguu ikielekea juu, ikigusa sehemu iliyodhoofika ya tando.

17.3.1 Maambukizi yanaweza kusababisha KTW

17.3.3 Ujauzito ya watoto wengi na kiowevu kingi cha amniotiki