17.3.3 Ujauzito ya watoto wengi na kiowevu kingi cha amniotiki

Ikiwa uterasi imeshikilia watoto wawili au zaidi, au mkusanyiko wa kiowevu kingi cha amniotiki (polihidramniosi), tando za fetasi huvutika zaidi na kupasuka. Tando zinaweza kupasuka ikiwa kiwango cha kiowevu cha amniotiki ni kidogo, ikiwa kuna njia nyingine ya kusababisha kama zilizoelezwa hapo chini.

‘Poli’ inamaanisha kingi, ‘hidra’ inamaanisha maji, na ‘amniosi’ inarejelea kiowevu cha amniotiki. Hivyo ‘polihidramniosi’ inamaanisha kiowevu kingi cha amniotiki.

17.3.2 Mlalo mbaya wa fetasi

17.3.4 Seviksi dhaifu