17.5.3 Upungufu na ukosefu wa hewa kwa fetasi

Tando za fetasi zilizopasuka zinapotoa viowevu vingi vinavyomfanya mtoto ‘kuelea’katika uterasi, tando zinapasuka zikimzunguka mtoto, na mtoto anaweza kujifinyilia kwa ukuta wa uterasi. Anaweza kulala na kubana kitovu, kwa hivyo fetasi inapungukiwa na oksijeni na uchafu wa doksidi ya kaboni unabaki kwa mwili.

Upungufu wa oksijeni na mkusanyiko wa doksidi ya kaboni katika mwili unaitwa haipoksia (hasa ‘kiwango cha chini cha oksijeni’), ambacho husababisha asifiksia (haipoksia uharibu ubongo na tishu) inayosababisha kifo ikiwa oksijeni haitarejeshwa haraka.

Fetasi pia inaweza kupata asifiksia na kufa kwa sababu ya kuachana kwa sehemu ya kondo la uzazi au kondo lote.

17.5.2 Kushuka kwa kambakitovu

17.5.4 Kukatika kwa plasenta