17.5.4 Kukatika kwa plasenta

Ikiwa sababisho la kupasuka kwa tando za fetasi ni uterasi iliyovutika, kunao uwezekano wa kuachana kwa plasenta kutoka ukuta wa uterasi kabla ya wakati (hali inayoitwa kuachana kwa plasenta ambapo utajifunza zaidi katika Kipindi cha 21). Hii inaweza kutokea wakati ambako mbubujiko wa kiowevu hutiririka kwa ghafula, kisha kupasua sehemu ya plasenta kutoka kwa ukuta wa uterasi.

17.5.3 Upungufu na ukosefu wa hewa kwa fetasi

17.5 Leba inayoanza kabla ya muda