18.4 Hitimisho

Malaria, anemia na MNM ni tatu kati ya matatizo ya kawaida ya ujauzito. Katika kipindi hiki umejifunza jinsi ya kutambua, kukinga na kuyatibu. Katika vipindi vitatu vifuatavyo, utajifunza kuhusu matatizo mengine matatu ya afya yanayotishia maisha ya kina mama wajawazito yasipotambuliwa na mama kupewa rufaa mara moja: matatizo ya shinikizo la damu (Kipindi cha 19), kutokwa na damu mwanzo wa ujauzito (Kipindi cha 20), na kuvuja damu baada ya ujauzito (Kipindi cha 21).

18.3.3 Kutibu maambukizi ya kibofu cha mkojo

Muhtasari wa Kipindi cha 18