19.4.2 Kiwaa/matatizo ya kuona

Kiwaa na matatizo ya kuona pia hutokana na ongezeko la shinikizo ndani ya kreniamu, pamoja na edema ubongoni na kwenye retina (kiungo kilicho nyuma ya mboni ya jicho).

19.4.1 Maumivu ya kichwa

19.4.3 Maumivu ya epigastriamu