19.4.2 Kiwaa/matatizo ya kuona
Kiwaa na matatizo ya kuona pia hutokana na ongezeko la shinikizo ndani ya kreniamu, pamoja na edema ubongoni na kwenye retina (kiungo kilicho nyuma ya mboni ya jicho).
Back to previous pagePrevious
19.4.1 Maumivu ya kichwa