20.3 Utunzaji wa mwanamke baada ya kutoa mimba
Nchi zingine katika Kusini mwa Jangwa la Sahara zina miongozo ambayo hufafanua utunzaji wa mwanamke baada ya kutoa mimba kama vile:
'Mtazamo wa kutoa huduma za utoaji mimba unaozingatia vipengele mbalimbali vinavyoathiri mahitaji ya afya ya kiakili na kimwili ya mwanamke, hali yake mwenyewe, na uwezo wake wa kupata huduma... zinazomsaidia mwanamke katika utekelezaji wa haki yake ya kijinsia na uzazi.'
20.2.5 Njia za kutekeleza uavyaji mimba