20.3 Utunzaji wa mwanamke baada ya kutoa mimba

Nchi zingine katika Kusini mwa Jangwa la Sahara zina miongozo ambayo hufafanua utunzaji wa mwanamke baada ya kutoa mimba kama vile:

'Mtazamo wa kutoa huduma za utoaji mimba unaozingatia vipengele mbalimbali vinavyoathiri mahitaji ya afya ya kiakili na kimwili ya mwanamke, hali yake mwenyewe, na uwezo wake wa kupata huduma... zinazomsaidia mwanamke katika utekelezaji wa haki yake ya kijinsia na uzazi.'

(Ustadi na Utaratibu wa kutoa huduma bora za uavyaji mimba Kusini mwa Jangwa la Afrika, 2006)

20.2.5 Njia za kutekeleza uavyaji mimba

20.3.1 Malengo ya huduma baada ya kutoa mimba