Malengo ya Somo la Kipindi cha 21

Baada ya kukikamilisha kipindi hiki unatarajiwa:

21.1 Kufasili na kutumia kwa usahihi maneno yote muhimu yaliyoandikwa kwa herufi nzito. (Maswali ya Kujitathmini 21.2 na 21.3)

21.2 Kufasili kuhusu dalili za hatari na visababishi vya mara nyingi vya kuvuja damu katika awamu za mwisho za ujauzito. (Maswali ya kujitathmini 21.1, 21.2 na 21.3)

21.3 Kutoa huduma ya kwanza ya ukunga na kutambua wakati wa kupendekeza rufaa kwa mwanamke anayevuja damu katika awamu za mwisho za ujauzito. (Maswali ya Kujitathmini 21.1 na 21.2)

Kipindi cha 21 Kuvuja Damu katika Awamu za Mwisho wa Ujauzito

21.1 Kuvuja damu katika awamu za mwisho wa ujauzito husababishwa na nini?